Header Ads Widget

Responsive Advertisement

MAULID JUMATATU(13/01/14), SIKUKUU JUMANNE(14/01/2014)


 

Maulid ya kuadhimisha mazazi ya Mtume ( S.A.W) yatafanyika Jumatatu usiku -BAKWATA
MAULID ya kuadhimisha mazazi ya Mtume(S.A.W) yanatarajiwa kusomwa usiku wa Jumatatu tarehe 13.1.2014.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kitaifa  maulid itasomwa Kigoma Mjini baada ya Swala ya I’sha.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa baraza la maulid litafanyika saa tisa alasiri (9.00) mjini Kigoma siku

Post a Comment

0 Comments